iqna

IQNA

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Iraq amesema, kuandaliwa kongamano la umoja wa Kiislamu kunaonyesha umakini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475918    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12